WAT SACCOS Karibu Tukuhudumie

Member Login / Wanachama Kuingia

Contact Us!
  • Home
  • About Us
    • Company
    • Organization structure
  • Membership
    • Become a member
    • Rules and Regulations
    • Register with us
  • Products and Services
    • Our Services
    • Loans
  • Media and News
    • News
    • Gallery
  • Contact Us
  • Company
  • /
  • Our Services

HUDUMA ZETU ZA SACCOS

AKIBA YA KAWAIDA YA KUWEKA PESA NA KUTOA (DEPOSITS)

  • Mwanachama kuweka akiba mara kwa mara
  • Kutoa pesa kila mara anapohitaji
  • Weka akiba mara kwa mara ikusaide kwa mahitaji y yako ya kila siku

AKIBA YA LAZIMA (SAVINGS)

  • Kila mwezi mwanachama lazima kuweka akiba ya lazima shilingi 10,000/=
  • Akiba hii haichukuliwi hadi kujitoa uanachama
  • haina ada yeyote
  • Husaidia kudhamini mkopo
  • Itakua inakupa riba kila mwaka
  • Itakusaidia kuondoa usumbufu pale unapotaka kukopa na kudhamini

AKIBA YA MALENGO (SPECIALIZED SAVINGS)

  • Kuweka akiba ya muda ya kipindi maalumu kulingana na malengo yaliyopangwa
  • Malengo yanaweza kuwa ya mwaka, miaka au miezi. Mwanachama anapanga kila mwezi anaweka kiasi kadhaa(mfano 100,000) kwa miezi 12 ili akalipe ada. Hivyo kwa mwaka ni sh 1,200,000
  • Hupata riba mwisho wa kipindi cha kuchukua fedha za kulingana na mkataba

AKIBA YA MALENGO (SPECIALIZED SAVINGS)

  • Ni akiba ya muda maalumu, inaanzia miezi 3, miezi 6 miezi 9 au mwaka mmoja na zaidi.
  • Kiasi kinavyokua kikubwa na riba ndiyo inavyokua kubwa

HISA (SHARES)

  • Hisa ni mtaji wa mwanachama kwenye SACCOS
  • Mwanachama anaingia SACCOS kwa hisa kianzio sh. 30,000
  • Kisha kukaa ndani ya chama miezi 6 ,mwanachama anapaswa awe na hisa si chini ya sh250,000
  • Mwanachama akikaa zaidi ya mwaka anatakiwa awe na hisa za shilingi zaidi ya 500,000 kama hajawahi kukopa
  • Mwanachama anahamasishwa aongeze hisa kidogo kidogo ili aweze kupata gawio zuri kila mwaka

MIKOPO (LOANS)

  • Mikopo inatolewa kwa mwanachama baada ya kukaa kwenye chama miezi 2 baada ya kujiunga
  • Mikopo inatolewa kwa awamu kila mkopo mwingine unapoisha
  • MMkopo wa kwanza hauzidi shilingi 2,000,000/=/li>
  • Ili kukopa mwanachama ahakikishe ana akiba 25% ya kiasi anachokopa na hisa zilizokamilika kwa mujibu wa sheria na masharti ya chama.
  • Mkopo wa mishahara akiba ya lazima 10% na hisa zilizokamilika kwa mujibu wa sheria na masharti ya chama.
  • Mikopo ya viwanja haina akiba ya lazima/li>
  • Marejesho ni kwa mwezi au kwa wiki kwa Boda boda
  • Mwanachama anapokopa awe na wadhamini wawili wanaotumia akaunti yao vizuri kwa mujibu wa masharti ya chama na sera zake.

The main objectives of the SACCOS

Why we are different

  • To increase community awareness and education on co operative
  • To insure that capacity of members to run their business profitability will increase
  • To promote housing Microfinance products
  • Provide education to the members on Co operative lknowledge
  • To provide efficient and effectiveness services to the members
  • To increase volume of savings
  • To increase loan portfolio with high quality
View Details

Contact us

  • watsaccos1998@gmail.com
  • 255752592898/255657592898
  • Kawawa Rd- Kinondoni B, P.O.Box 5914 DSM
WAT SACCOS Inagusa Maisha Yako.

Recent Links

  • Tanzania Co operative Development Commission
  • SCCULT Tanzania
  • Tanzania federation of Co operatives(TFC),
  • Bank of Tanzania
  • Housing Microfinance Working Group

Updates

Please enter your e-mail and subscribe to our updates.

Follow To WAT SACCOS

  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • HOME
  • COMPANY
  • SERVICES
  • NEWS
  • ARCHIVES AND DOWNLOADS
  • CONTACT

© 2025 WAT SACCOS. All Rights Reserved